Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, May 13, 2010

TANZANED FITNESS CENTRE(gymkhana club)


Mazoezi ya mapaja
kwa kutumia mashine iitwayo Leg extention
namna ya kuanza na kumalizia.






MAZOEZI YA KUJENGA MISULI KATIKA GYM YA TANZANED FITNESS CENTRE
ILIYOPO JIJINI DAR ES SALAAM. PICHA NI MWALIMU SWAI AKIFANYA MAZOEZI YA MISULI YA MIKONO KWA KUTUMIA MASHINE INAYOITWA BICEPS CURL




Watu wengi siku hizi hupendelea sana kufanya mazoezi ya kujenga misuli, hii ni kwa sababu kumfanya aonekane amejazia na kupendeza wakati anapovaa nguo zake. Halikadhalika kwa ajili ya afya yake.

Wengine hufanya mazoezi haya kwa kupunguza mafuta kwenye mwili, kama vile wanawake ambao wamejikuta wana mikono minene kuliko miili yao hufanya mazoezi haya kwa ajili ya kuondoa mafuta na kujenga misuli, lakini kwa mwana mke siyo rahisi kujenga misuli ikaonekana kama mwanaume, kwa sababu mwanamke hana homon zinazofanana na za kiume.


Lakini usijisahau ukafanya mazoezi ya juu tu pia kuna mazoezi ya miguu kama picha inavyoonyesha hapo juu
Hivyo basi anza leo mazoezi ili nawe uonekane umependeza kama wale ambao waliokwisha jiunga kenye gym za mazoezi haya.









No comments: