Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, October 27, 2011

NAMNA YA KUTUMIA MASHINE KWA MAZOEZI YA MGONGO

Huwa ni mazoea ya wadau wengi hufikiria mazoezi ya kutumia mashine ni kwa ajili ya wanaume tu hapana.
Mwanamke pia anahitaji kufanya mazoezi kwa kutumia mashine hii humsaidia kupunguza mafuta na kujenga misuli haswa sehemu ya mgongo yaani husaidia kuondoa matairi au manyama uzembe.















Hapa mdau wa mazoezi akifanya mazoezi ya
mgongo akiwa anaazia kama picha inavyoonyesha















Mdauwa mazoezi ya viungo akimalizia kuvuta
kama picha inavyoonyesha akiatimia mashine
nayoitwa rowing.

Tuesday, October 25, 2011

MAZOEZI YA AEROBICS KATIKA CHUO KIKUU CHA MLIMANI DAR ES SALAAM















Wadau wakiwa katika muvment ya mazoezi















Wadau wa mazoezi wa chuo kikuu wakiwa
na mwamko wa mazoezi kwa ajili ya afya
zao. wakiongozwa na mwalimu Swai






























Baadhi ya mazoezi wakifuatilia kwa makini
wadau wa mazoezi udsm mlimani

Sunday, October 16, 2011

KATIKA KUSHEREHEKEA MIAKA HAMSINI YA CHUO KIKUU NA BONANZA LA MAZOEZI YA AEROBICS.

KATIKA KUSHEREHEKEA MIAKA MIAKA HAMSINI YA CHUO KIKUU CHA MLIMANI WANAMICHEZO WOTE WALISHIRIKI KATIKA KUPASHA MISULI KWA MAZOEZI YA AEROBICS YA KIONGOZWA NA MWALIMU OMAR SWAI.















Washiriki wa bonanza wakianza na mazoezi ya
aerobics.
















Ilikuwa ni mambo ya cooldown hapa baada ya
aerobics.
















Mazoezi ya kunyoosha misuli kwa matayarisho
ya wanamichezo wa bonanza hilo lililofanyika
katika viwanja vya Chuo kikuu Mlimani.

Saturday, October 15, 2011

SIKU YA BONANZA CHUO KIKUU CHA DAR ESALAAM MLIMANI NA MIAKA HAMSINI

Katika kusherehekea miaka hamsini ya tangu kuanzishwa kwa chuo kikuu cha Dar es salaamMlimani enzi hizo mpaka hadi leo kulikuwa na sherehe mbali mbali za kushiriki kwenye michezo.



















Hapa akinamama wakijitayarisha kukimbia
mita mia moja siku ya bonanza jumamosi
kwenye viwanja vya chuo kikuu.
















Mbio zilianza hivyo kama inavyookana
hapo juu kwa akina mama.















Akina baba nao walikuwemo katika mashindano
hayo ya mita mia moja.

Friday, October 7, 2011

MIAKA HAMSINI YA CHUO KIKUU DAR ES SALAAM CHA MLIMANI YAFANA KWA MAZOEZI YA VIUNGO.

Katika shamra shamra za kusherehekea miaka hamsini ya Chuo Kikuu Cha Dar es salaam Mlimani mkuu wa chuo hicho Profesa Mkandala akifungua Gym ya mazoezi ya viungo akiwa anasindikizwa na mkuu wa shule kuu ya elimu Eustella Bhalalusesa ambaye pia kitengo hiko kiko chini yake.





















Profesa Ruwekeza Mkandala akikata utepe rasmi kufungua gym.
















Baada ya kukata utepe Profesa Mkandala alijiunga na mazoezi ya aerobic
pamoja na wadauwengine.















Ilikuwa ni siku ya mazoezi tu wadau wakifurahia
mazoezi ya viungo