Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, June 20, 2016

MAMA GYM AU AGNES WA CLUB YA MAZOEZI CHUO KIKUU CHA UDSM AMBAYE NI MWANAMAZOEZI ALIYEFANIKIWA NA MAZOEZI YA AEROBICS


Mwana mazoezi mkongwe mama Gym wa clabu ya mazoezi ambayo iko chuo kikuu cha Dar es salaam Pess.

Mfanikio ya mazoezi ya mama gym aka Agnes. ni makubwa ambayo yamemfanya ajivunie kufanya mazoezi ya aerobics.

Mama Gym akiwa kwenye cross training mashine