Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, August 18, 2011

MAZOEZI KATIKA MFUNGO WA RAMADHANI NA DAYATI YAKE

Mara nyingi watu wengi ambao wanafunga mwezi mtukufu wa ramadhani huwa wanasimama kufanya mazoezi kwa sababu ya swaumu kali na wengine ule muda wa mazoezi ndio wakati wa yeye kwenda kufuturu kwa akina mama wao huwa wanawahi majumbani kutayarisha futari, kwa kweli jambo hilo haliepukiki.

Leo mimi nitajaribu kukupa kidokezo kidogo kuhusu ule namna gani. Katika hilo suala la kula huwa ni gumu kidogo kwa sababu hata aina ya vyakula hubadilika na kuwa wanakula vyakula vya wanga kwa wingi na mafuta ikiwa nazi samli na kadhalika na kwa muda wa futari na halikadhalika daku huliwa usiku wa manane. Kwa wakati huo hakuna msago wa chakula cha aina yoyote katika tumbo.

Kitu cha muhimu epuka kula kupita kipimo na jaribu kunywa maji ya kutosha na ukipata maziwa ya mgando yatakusaidia kuyeyusha kile chakula chenye mafuta mengi, na pia kupata mboga za majani kwa wingi.

NAWATAKIA MFUNGO MWEMA WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN

RAMADHAN KARIM


Wednesday, August 3, 2011

NAMNA YA KUFANYA MAZOEZI YA KUONDOA TUMBO NA KUPUNGUZA MAPAJA








Jinsi ya kuanza mazoezi ya tumbo na namna ya kumalizia





















Chini kabisa ni mazoezi ya mapaja
kuanza nz kumalizia