Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, October 16, 2012

UMUHIMU WA KUFANYA MAZOEZI KWA KUTUMIA MASHINE NA UZITO


Mara nyingi watu walio wengi wamekuwa na ufahamu mdogo wa kufanya mazoezi kwa kutumia mashine hususan kinadada.
Mazoezi ya kutumia mashine ni muhimu sana, hii ikiwa katika kuutanganisha mwili wako kwa kuondoa yale mafuta yaliyojificha  kwenye mwili wako.Kwa kufanya mazoezi ukiwa unatumia mashine hukusaidia kujenga misuli ili kufidia ile sehemu uliyoondoa mafuta kwa kufanya mazoezi ya aerobics(muscle tune).
Hii husaidia kuufaya mwili wako kuwa umekaza badala ya kutepeta na kukuweka nadhifu kwenye muonekano pindi uvaapo nguo zako huwa unapendeza zaidi.







  
Kama picha inavyoonyesha namna ya kutumia mashine aina ya cross traing
                        mdau wa mzoezi Jaqline anavyoanza zoezi hilo katika gym ya UDSM



                                Hapa inaonyesha jinsi ya kumalizia zoezi hilo la cross training