Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, May 21, 2010

NI KWANINI MTU ANANENEPA BILA YA YEYE KUJUA

KWENYE PICHA HAPO JUU MDAU WA MAZOEZI AMEPANIA KUPUNGUZA UZITO NA KUWA NA MPANGILIO WA MLO.

Sisi binaadam mara nyingi huwa tunajisahau katika kula chakula bila ya mpangilio.


Haswa katika jamii ya kibongo, huwa tunajisahau pindi tuwapo nakipato kikubwa huwa tunasema ponda mali kufa kwaja.


Hii inamaana pindi upatapo ndio kipindicha kukufuru kula chochote kile na kuzidi kupimo. Hivyo unajikuta uko katika wimbi la matatizo ya moyo.




Katika utafiti wangu niloufanya muda mrefu utakuta wale wenye matatiozo ya ugonjwa wa moyo ni wengi.Hii inatokea katika jamii yetu ya waafrika ambao mwisho wa siku anapokwenda kumuona daktari hugundua maradhi hayo alopata yalitokana na kula bila mpangilio.




Hivyo nawashauri wale ambao wanamatatizo kama haya wajitahidi kufanya mazoezi na kupunguza mlo unaokula pia kula kwa mpangilio.






No comments: