Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, August 2, 2017

NINI MAANA YA DAYATI NA FAIDA ZAKE KWA ANAYEFANYA NA ASIYEFANYA MAZOEZI

Mara nyingi watu hudhani kuwa kufanya dayati ni kutokula kabisa, la hasha hizo ni fikra potofu kwa mwana mazoezi ambazo zimerithiwa na wale ambao hawajui namna au maana ya dayati, Dayati maana yake ni kubadili  mfumo wako wa kula kula bila ya mpangilio.

Kubadilisha tabia ya kula bila mpangilio na kula kiasi kidogo cha chakula haswa wakati wa usiku ili kuepuka uzito maana nyakati za usiku unakuwa hufanyi shughuli yoyote ile ya kutumia chakula ambacho ulichokula kwa usiku ule hivyo basi kile chakula hubadililika na kuwa mafuta na kwenda kujikusanya sehemu mbalimbali ya mwili wako. Kwa wale ambao hawafanyi mazoezi hupata shida ya kuongezeka uzito mara kwa mara.Kama unataka kupungua uzito punguza chakula unachokula na kula mboga za majani kwa wingi na mtunda kwa ajiliya kuepuka vyakula venye  mafuta mengi. Fanya mazoezi japo mara tatu kwa wiki.

MAZOEZI AINA MBALI MBALI KWA KUJIWEKA NA AFYA NZURI  YA MWILI WAKO

                                                               Mazoezi ya tumbo kuondoa mfuta
                                                   Zoezi la kunyoosha  misuli ya mgongo
                                   Kufanya mazoezi ya Aerobics kwa ajili ya kupunguza uzito
                                 Mazoezi ya kutengeneza misuli yako na kuonekana nadhifu