Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, May 17, 2010

OK.BODY SHAPE WADAU WA CLABU HIYO MWAKA 2000 NA MWALIMU SWAI




MWALIMU SWAI(a.k.a MASTER CLASS) ENZI YA GOGO HOTEL ILIKUWA NI MAZOEZI YA HIGH IMPACT AEROBICS ENZI HIZO YA
AKINA David Mrema, Kissy,Lukumai,Rehema,
Vivian,Shami,Mtagwa Fundikira,Maria,Nara na wengineo wengi.Ikiwa imepita miaka kumi.
SWALI: JE HAWA WADAU WANAFANYA MAZOEZI YA AEROBICS?
JIBU: Ni wachache sana kwa mujibu wa utafiti wangu.

No comments: