Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Saturday, May 22, 2010

BONAZA LA AEROBICS KATIKA PICHA NA WAALIMU WA GYM MBILIMBALI DAR.

SIYO MAMBO YA AEROBICS TU HATA JACUZI PIA HUCHANGAMSHA MWILI NA KUKUFANYA UWE MCHANGAMFU








AQUA AEROBICS




NI FURAHA TUPU KUWA PAMOJA NAMNA HII.









KATIKA BONANZA LA KILA BAADA YA MIEZI MITATU WADAU WANAFURAHIA MAZOEZI KWENYE HOTELI YA SOUTH BEACH















MWALIMU SWAI AKIWA NA WADAU WA AEROBICS SIKU YA BONANZA




































PAMOJA NA MWALIMU DULA ANAKUWEPO PIA











Siku hii huwa ni siku ya kuhadithia katika maisha yako ya kufanya mazoezi, pia hukuweka karibu na wadau wenzako.
Halikadhalika kujuana kwa ukaribu zaidi maana hapa kwenye bonanza hili huchukua takriban siku nzima maana huanza asubuhi saa nne na kumalizika jioni saa kumi na moja jioni, huwa ni muda wa kutosha kukutana na kujuana zaidi kuliko ukiwa gym unachukua muda wa saa moja tu tena ukimaliza mazoezi ni kuwahi nyumbani.
Hivyo basi bonanza la aerobics lina manufaa makubwa ndio maana wadau wameamua kulifanya kila baada ya miezi mitatu.
Mimi mwenyewe binafsi nimepania kuwaalika wadau wote wa aerobics wa kila gym hapa Dar es salaam na pia nje ya dar, kwa kutegemea wadhamini ambao niko mbioni kuwasaka.




























































No comments: