Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, October 28, 2010

MDAU ANAYEPENDA MAZOEZI YA AEROBICS MAJID

Majid ni madau mkuu katika mazoezi ya aerobics amevaa tishet nyekundu na chini nyeupe na raba za nyano ni mmojawapo wa wadau wenye mapenzi kwenye mazoezi ya aerobics kwa hali na mali.

Majid ni Mkurugenzi kampuni ya kubadilisha fedha za kigeni kuuza na kununua hapa Dar es salaam.

Nikisema hivyo sina maana hakuna mdau kama yeye bali yeye huwa amepangia katika maisha yake yote bila kukosa hivyo ni mfano bora wa wiki hii.

Big up Majid

MAZOEZI YA AEROBICS KWENYE MAJI AQUA AEROBICS

Picha chini wadau wa aerobics wakifurahia mazoezi ya aqua aerobics


Monday, October 18, 2010

MAZOEZI NA NAMNA YA KUFANYA DAYATI

Mara nyingi watu hukosea kufuatilia namna ya kufanya dayati, hii hutokea kutopata maelekezo ya kina kutoka kwa wataalam au walimu wa mazoezi. Mara nyingi mazoezi yanakwenda na dayati yaani kupunguza mlo unaokula, na mwili huja kwa kula bila mpangilio.Lakini ukijitahidi kupunguza mlo na uzito ulokithiri utapungua, pia chakula kinachonenepesha ni kile unachokula wakati wa usiku. Jaribu kula mapema kabla ya kwenda lala na upate mlo ulokuwa mwepesi. Kwa maswali niandikie kupitia omaryswai@gmail.com

Saturday, October 16, 2010

MWALIMU OMAR SWAI KATIKA CLUB YAKE MPYA ILIYOPO LAMADA HOTEL NA WADAU WA AEROBICS

Katika picha ni wiki ya ufunguzi wa darasa la aerobics likiongozwa na mwalimu Swai ilikuwa ni furaha tupu.Clabu hii huwa ni ya mazoezi ya aerobics tu kwa kila rika mnakaribishwa Lamada hotel kwa mazoezi.









High Impact Aerobics hapo juu
Wadau wa aerobics wakiwa wanafanya mazoezi ya tumbo kwa bidii hapo chini huku wakisimamiwa na mwalimu Swai Master class katika hoteli ya Lamada ni siku za mwanzo tangu club hiyo ifunguliwe




























stratching baada ya mazoezi ya viungo ni muhimu,hii husaidia kuondoa maumivu kwenye misuli ya mwili wako.

Wednesday, October 13, 2010

MWALIMU PETRO WA TANZANED GYM AKIWA KATIKA HARAKATI ZAKE ZA KUFUNDISHA

Mwalimu Petro ni mwalimu mahiri katika ufundishaji wa mazoezi ya gym pamoja na spiner yaani mazoezi ya baiskeli hapo katika gym ya Tanzaned .

Ni mwalimu mwenye bidii na hodari katika kazi yake.

Matarjio yake ni kujiendeleza zaidi katika hii fani ya ufundishaji mazoezi na kuwa wa kimataifa


Mwalim Pertro kushoto akitoa maelekezo ya mazoezi kwa wadau wa mazoezi na wengine wakiwa kwenye mashine za kukumbilia.

Thursday, October 7, 2010

MASTER CLASS OMAR SWAI AFUNGUA CLUB YA AEROBICS

Master class Omar Swai amefunga club ya mazoezi ya aerobics katika hoteli ya Lamada iliyopo barabara ya kawawa karibu na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam.

Wadau wa Aerobics mnawakaribisha mje mpate mazoezi ya aerobics kutoka kwa mtaalam wa mazoezi, mkaribishe na rafiki yako. Mazoezi yanaanza saa kumi na mbili jioni hadi saa moja usiku kila siku ya jumatatu hadi ijumaa mnakaribishwa.

Pia kwa ushauri wa namna ya kuthibiti uzito ulokithiri ambao ulikusumbua kwa muda mrefu na kujiweka katika afya njema.



Master class akiwa kwenye moja ya darasa lake ni burudani tosha