Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, May 17, 2010

MWALIMU HENRY MANGO WA HOME GYM

Mwalimu Mango wa gym ya Home Gym siyo jina geni kwa wale wadau wa luninga ya ITV.
Kijana Henry Mango alianzisha sehemu yake ya mazoezi katika mwaka wa 2004.ambapo alifungua sehemu ya kunyanyua vyuma kwa ajili ya kujenga misuli huko mwenge Dar.
Baada ya miaka michache alianzisha sehemu ya kufanyisha mazoezi ya aerobics, ambayo anaendelea na kwa sasa ana wadau ambao wengi wao wanatokea sehemu za mwenge.
Nilipomuuliza kiwango cha elimu yake alinambia amefikia darasa la saba lakini amesema atajiendeleza zaidi kielimu, ili apate mafanikio katika kazi hii ya mwalimu wa aerobics .
WADAU WA MAZOEZI YA AEROBICS
WAKIONGOZWA NA MWALIMU FREDY LAUWO AMBAYE YEYE PIA AMEJULIA MAZOEZI KUTOKA KWA MWALIMU MANGO HAPO HOME GYM.



No comments: