Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, December 13, 2017

UMUHIMU WA KUNYWA MAJI WAKATI WA MAZOEZI NA MWISHO WA MAZOEZI

Maji ni muhimu sana pindi ufanyapo mazoezi na baada ya mazoezi kwa sababu ya kupooza joto la mwili wako na kurudisha katika joto lako la kawaida.Nikisemea hivyo wako watu wengi wanaogopa kunywa maji wakati wanapofanya mazoezi, kwa kuzingatia hivyo maji yenyewe yawe baridi na sio ya moto. Kwa hiyo pasenti 60 ya mwili wako ni maji. Pia unatakiwa kunywa maji yasiyopungua lita mbili kwa siku.