Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, December 16, 2013

JINSI UNAVYOTAKIWA KULA UKIWA UNAFANYA MAZOEZI YA KUJENGA MISULI

Mara nyingi kwa  wale ambao wanataka kujenga misuli hawakumbuki au kuwa na uhakika wa mlo ambao anatakiwa kula.
Kwa sababu ninapata maswali mengi kuhusu aina ya chakula anatakiwa kutumia wakati afanyapo haya mazoezi ya kujenga misuli.

AINA YA VYAKULA 
1.Awe anapata chakula cha wanga kwa ajili ya kuupata nguvu.(kama makaroni,chapati,ugali na wali)
2.Chakula cha protini kwa ajili yakujenga misuli kwa haraka(kama kuku,samaki,figo,na nyama)
3.Apate aina mbali mbali ya matunda.
Kula  zaidi ya miilo 3 iwe mara tano na mazoezi ya kutosha kwa kuongeza uzito kila baada ya seti.