Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, December 29, 2016

MAPUMZIKO YA KUFANYA MAZOEZI NI JAMBO LA MUHIMU


Kuna umuhimu wa kuwa na muda wa mapumziko ya kutosha katika kufanya mazoezi, hii ikiwa ni  kipindi cha mwisho wa mwaka.

Sababu za kupumzika ni  kuipa misuli ya mwili kujipanga vizuri na kukuwa. Pia hii husaidia kuuondoa maumivu mwilini na kusaidia mwili kujipanga na kupungua.

Sababu ingine nikukufanya uwe na hamu ya kurudi mazoezini baada ya mapumziko ya muda wa wiki mbili. Pia husaidia kujua mwili wako ulivyo  kubali kupungua au kujengeka kimazoezi.

JAMBO LA MUHIMU NI KUJITAMBUA UNATAKA NINI UNAPOAMUA KUFANYA MAZOEZI AMBAYO HUENDA SAMBAMBA NA MPANGILIO  WA  CHAKULA.