Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Saturday, May 22, 2010

MWALIMU WA AEROBICS WA KIKE MTANZANIA MARIA ALIYEAMINIKA KUFUNDISHA UGHAIBUNI





Mwalimu Maria amewahi kufundisha katika gym mbali mbali jijini Dar es salaam ikiwemo Genessis gym, Kel Ken gym, na Tanzaned gym hizi zote ni gym za jijini Dar.
Mimi binafsi nimefundisha nae kwenye gym moja
na hata nilikuwa namwalika katika aerobics bonanza tofauti tunazofanya.
Kwa kweli alikuwa anakubalika kwa kufundisha wadau pia alikuwa ni dada anayependa kujua mambo mengi kutoka kwangu, kitu ambacho hakijuia alipenda kukijua kwa kumuonyesha ndio maana amepata mafanyikio katika kazi hii ya ualimu wa aerobics.
Hivi sasa mwana dada huyu yuko Duabai anfanya kazi ya mwalimu wa aerobics, na anaendelea vema na kazi hiyo kwa taarifa kutoka kwa kaka yao Dulla.
Picha inaonyesha akiwa kwenye bonanza la kelken na picha ya pamoja na mwalimu Omar Swai

No comments: