Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, May 10, 2010

MAZOEZI YA TUMBO NA OMAR SWAI


MAZOEZI YA TUMBO KATIKA PICHA NA O. SWAI.
Mazoezi ya kuondoa tumbo huchukua muda kwa sababu ukumbuke tumbo halikuja siku moja ila lilichukua muda mpaka ukashituka limekuwa kubwa.
Wakati wa kulitoa ndio unaona sasa ni matatizo na kuchukua hata miezi miwili au mitatu, ndio uone linaanza kupungua tena kwa taratibu. Hii ni kwa sababu umejenga mafuta mengi tumboni kwa muda mrefu.
Unachotakiwa kufanya ni mazoezi ya kila siku ili uondoe hilo tumbo ambalo hukunyima raha wakati wote.
Kwa kweli ukiwa na tumbo kubwa hupendezi hata ukivaa nguo nzuri utaonekana hujapendeza.
Kama una tatizo hilo anza leo mazoezi ya tumbo na kupunguza mlo unaokula.Kila kitu yataka moyo .

No comments: