Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, May 12, 2014

UMUHIMU WA KUFANYA MAZOEZI KATIKA MAISHA YAKO YA KILA SIKU


Kufanya mazoezi kila siku  ya maisha yako ya kila siku, hii ikiwa na maana kuwa  kuna umuhimu sana kwa ajili ya afya njema na kujirefushia maisha yako.
Pia hukusaidia kukuondolea  na kukukinga na maradhi madogodogo ambayo husumbua sana .
Kwa kushauri mtu uwe unafanya mazoezi kwa ajili ya kuondoa kaloriz ambazo zimezidi mwilini kwako ili uwe na afya njem.