Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, April 30, 2010

CHAKULA UNACHOTAKIWA KULA WAKATI UKITAKA KUPUNGZA UZITO

Katika maisha ya kawaida watu wengi hupenda kula nyakati za usiku, hii ni kwa sababu kwa wale ambao wanafanya kazi maofisini huwa hawapati mlo mzito wakati wa mchana.

Kutokana na sababu hiyo basi yeye hupata mlo nyakati za usiku akiwa na familia yake Ni kweli kula ni muhimu katika maisha ya binaadamu yeyote lakini wakati wa usiku huwa mwili hauhitaji virutubisho kwa kuwa hufanyi kazi yoyote inayo tumia kaloriz.

Hii hukufanya kunenepa bila ya wewe kujua unanenepeshwa na nini ukiulizwa unasema kwanza mimi nala mara moja kwa siku au mara mbili.

Kama ukiona umekosa muda wa kula mchana hebu jaribu kula matunda kwa wingi hii itakusaidia kutokula chakula kingi wakati wa usiku ule.

Kwa kawaida binaadam anatkiwa apate kalori 1500 kiwango hiki ni tosha kwa uhai wako na afya.

No comments: