Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, April 20, 2010

UZITO ULOZIDI KIPIMO UNAATHIRI SANA AFYA YAKO.

Kuna watu wengi ambao wanafikiri uzito ulokithiri na unene ni afya, hapa hiyo imeshakuwa ni maradhi kwako.

Binadamu anakwenda na uzito wake wa mwili kutokana na urefu wake, hivyo ni muhimu kama una uzito zaidi ya urefu wako ni bora upunguze uzito kwa kuzingatia kupunguza kula na kufanya mazoezi.

No comments: