Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Saturday, April 17, 2010

Mazoezi ya asubuhi

Mazoezi ya asubuhi ni muhimu sana kwa kila mtu mwenye uwezo wa kuamka muda wa saa 12 wakati jua bado halijachomoza na kuanza kutembea au kuimbia.

Hii hukufanya uwe mchangamfu mchana kutwa kufanya kazi bila ya kusikia uchovu wa aina yoyote mwilini mwako.

Pia hata kwa wale wanaofanya sehemu za vituo vya mazoezi(gym) inakuwa ni sehemu ya salama zaidi na uhakika wa kufanya mazoezi chini ya uangalizi wa mwalimu.

No comments: