Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, April 16, 2010

mazoezi ni muhimu kila siku

Kila siku ya maisha yako kufanya mazoezi ni muhimu kwa sababu unakula pia unahitaji kupunguza yale ambayo yasiyohitajika kwenye mwili.

Kwa kufanya mazoezi na kutokwa jasho hii inasaidia kuufungua matundu yaliyomo kwenye ngozi yako.

Kwa wale ambao wanafanya mazoezi nyumbani inabidi uendeshe baiskeli au upande ngazi zenye mpandio usopungua mitatu kwa muda wa dakika 20 utakuwa umefanya mazoezi ya kutosha.

No comments: