Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, October 28, 2010

MDAU ANAYEPENDA MAZOEZI YA AEROBICS MAJID

Majid ni madau mkuu katika mazoezi ya aerobics amevaa tishet nyekundu na chini nyeupe na raba za nyano ni mmojawapo wa wadau wenye mapenzi kwenye mazoezi ya aerobics kwa hali na mali.

Majid ni Mkurugenzi kampuni ya kubadilisha fedha za kigeni kuuza na kununua hapa Dar es salaam.

Nikisema hivyo sina maana hakuna mdau kama yeye bali yeye huwa amepangia katika maisha yake yote bila kukosa hivyo ni mfano bora wa wiki hii.

Big up Majid

No comments: