Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, November 2, 2010

KUTANA NA MDAU WA AEROBICS WA SIKU NYINGI MR MGENI

Anajulikana kwa jina la Mgeni lakini siyo mgeni wa mazoezi bali nia mdau aliyebobea katika mazoezi ya aerobics tangu enzi ya uwanja wa taifa hadi leo hii.

Katika picha hapo chini Mgeni yuko na wadau wa kike akiwapa moyo wa mazoezi kulia kwake ni zahra na kushoto erika katika club ya ok body shape iliyopo Lamada hoteli

No comments: