Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, October 7, 2010

MASTER CLASS OMAR SWAI AFUNGUA CLUB YA AEROBICS

Master class Omar Swai amefunga club ya mazoezi ya aerobics katika hoteli ya Lamada iliyopo barabara ya kawawa karibu na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam.

Wadau wa Aerobics mnawakaribisha mje mpate mazoezi ya aerobics kutoka kwa mtaalam wa mazoezi, mkaribishe na rafiki yako. Mazoezi yanaanza saa kumi na mbili jioni hadi saa moja usiku kila siku ya jumatatu hadi ijumaa mnakaribishwa.

Pia kwa ushauri wa namna ya kuthibiti uzito ulokithiri ambao ulikusumbua kwa muda mrefu na kujiweka katika afya njema.



Master class akiwa kwenye moja ya darasa lake ni burudani tosha

No comments: