Wadau wa Aerobics mnawakaribisha mje mpate mazoezi ya aerobics kutoka kwa mtaalam wa mazoezi, mkaribishe na rafiki yako. Mazoezi yanaanza saa kumi na mbili jioni hadi saa moja usiku kila siku ya jumatatu hadi ijumaa mnakaribishwa.
Pia kwa ushauri wa namna ya kuthibiti uzito ulokithiri ambao ulikusumbua kwa muda mrefu na kujiweka katika afya njema.
Master class akiwa kwenye moja ya darasa lake ni burudani tosha
No comments:
Post a Comment