Monday, October 18, 2010
MAZOEZI NA NAMNA YA KUFANYA DAYATI
Mara nyingi watu hukosea kufuatilia namna ya kufanya dayati, hii hutokea kutopata maelekezo ya kina kutoka kwa wataalam au walimu wa mazoezi. Mara nyingi mazoezi yanakwenda na dayati yaani kupunguza mlo unaokula, na mwili huja kwa kula bila mpangilio.Lakini ukijitahidi kupunguza mlo na uzito ulokithiri utapungua, pia chakula kinachonenepesha ni kile unachokula wakati wa usiku. Jaribu kula mapema kabla ya kwenda lala na upate mlo ulokuwa mwepesi. Kwa maswali niandikie kupitia omaryswai@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment