Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, October 18, 2010

MAZOEZI NA NAMNA YA KUFANYA DAYATI

Mara nyingi watu hukosea kufuatilia namna ya kufanya dayati, hii hutokea kutopata maelekezo ya kina kutoka kwa wataalam au walimu wa mazoezi. Mara nyingi mazoezi yanakwenda na dayati yaani kupunguza mlo unaokula, na mwili huja kwa kula bila mpangilio.Lakini ukijitahidi kupunguza mlo na uzito ulokithiri utapungua, pia chakula kinachonenepesha ni kile unachokula wakati wa usiku. Jaribu kula mapema kabla ya kwenda lala na upate mlo ulokuwa mwepesi. Kwa maswali niandikie kupitia omaryswai@gmail.com

No comments: