Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Saturday, October 16, 2010

MWALIMU OMAR SWAI KATIKA CLUB YAKE MPYA ILIYOPO LAMADA HOTEL NA WADAU WA AEROBICS

Katika picha ni wiki ya ufunguzi wa darasa la aerobics likiongozwa na mwalimu Swai ilikuwa ni furaha tupu.Clabu hii huwa ni ya mazoezi ya aerobics tu kwa kila rika mnakaribishwa Lamada hotel kwa mazoezi.









High Impact Aerobics hapo juu
Wadau wa aerobics wakiwa wanafanya mazoezi ya tumbo kwa bidii hapo chini huku wakisimamiwa na mwalimu Swai Master class katika hoteli ya Lamada ni siku za mwanzo tangu club hiyo ifunguliwe




























stratching baada ya mazoezi ya viungo ni muhimu,hii husaidia kuondoa maumivu kwenye misuli ya mwili wako.

No comments: