Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, October 13, 2010

MWALIMU PETRO WA TANZANED GYM AKIWA KATIKA HARAKATI ZAKE ZA KUFUNDISHA

Mwalimu Petro ni mwalimu mahiri katika ufundishaji wa mazoezi ya gym pamoja na spiner yaani mazoezi ya baiskeli hapo katika gym ya Tanzaned .

Ni mwalimu mwenye bidii na hodari katika kazi yake.

Matarjio yake ni kujiendeleza zaidi katika hii fani ya ufundishaji mazoezi na kuwa wa kimataifa


Mwalim Pertro kushoto akitoa maelekezo ya mazoezi kwa wadau wa mazoezi na wengine wakiwa kwenye mashine za kukumbilia.

No comments: