Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Saturday, September 25, 2010

MWALIMU YASINI AKIWA KATIKA DARASA LA MAZOEZI YA TUMBO KATIKA GYM YA TANZANED

Mwalimu Yasini ni mwalimu aliye makini katika kufundisha mazoezi yaviungo, akiwa amebobea kwa muda mrefu. Wadau wa mazoezi ya viungo wamefaidika naye kujaribu kuwasaidia kuondoa matatizo ya uzito akiwa katika gym ya Tanzaned na gym nyingine anazofundisha jijini Dar es salaam.

Katika picha mwalimu Yasin akitoa maelekezo nakuangalia kama wadau wanafanya vyema mazoezi mbalimbali ya tumbo.







No comments: