Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, April 4, 2012

UMUHIMU WA KUPASHA MWILI JOTO KABLA YA KUANZA ZOEZI(warm up) NA KUNYOOSHA BAADA YA ZOEZI(stretching)

Umuhimu wa kupasha moto misili kabla ya kuanza mazoezi kwa sababu ya kuutayarisha mwili kwa zoezi unalotaka kufanya.
Faida yake ni kuepuka maumivu ya misuli yasiyokwisha baada ya mazoezi.Hivyo ni muhimu sana kufanya mazezi kwa kupasha mwili joto(warm up) kwa kutumia baiskeli za mazoezi ukiwa gym
Pia kuna umuhimu wa kufanya azoezi yakunyoosha mwili baada ya mazoez(stretching), kwa ajili ya kuondoa maumivu na uchovu kwenye misuli.


















Hapa ni dada Nailia UDOM akianza mazoezi kwa
kupasha joto mwili kwa kuendelea na zoezi.






















Mama kidogo akipasha moto misuli
kwenye mashine aina ya crosse training
yeye ni hair dresser anapenda mazoezi.






















Mazoezi ya kunyoosha misuli baada
ya zoezi.





















Abigal akimalizia zoezi kwa kufanya
zoezi kunyoosha mwili baada ya zoezi
(stretching)

No comments: