Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, April 20, 2012

FAIDA YA KUFANYA MAZOEZI YA AEROBICS


Faida ambazo unapata ukifanya mazoeziya Aerobics mara tatu hadi tano kwawiki ni:
-Kuonngeza uwezo wa kupumua kwa ufasaha na uhakika.
-Kuuweka moyo wako madhubuti na uhakika katika msukumo wa damu mwilini.
-Kupunguza mapigo ya moyo ambayo siyo ya kawaida.
-Kuongeza uwezo wa kusukuma damu mwilini na kuchuja mafuta yaliyomo kwenye damu kwa uhakika zaidi.
-Kusaidia kupunguza mafuta mwilini kwa kiasi kikubwa.
-Kusaidia kupunguza uzito ulokithiri.
-Kuongeza mtiririko w hewa ya oksijen kwenye damu.
-Kusaidia mwili katika kulainisha misuli ya mwili.
-Kusaidia kujikinga na maradhi ya mara kwa mara na kuongeza seli nyekundu za mwili.
















Wadau wa aerobics wakifanya mazoezi kwa
ajili ya afya njema.

No comments: