Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, April 11, 2012

ZOEZI YA KUONDOA TUMBO KWA KUTUMIA MASHINE IITWAYO (TOTAL MOTION MACHINE)

Mdau wa mazoezi Elasi Njenga ambaye amepata amepata mafanyikio ya mtokeo mazuri kwenye kufanya mazoezi kwa bidii na kupunguza kilo nne kwa mwezi moja tangu alipoanza mazoezi.
Kwa wale wanaomjua wameona mafanikio makubwa na hata mwili wake kwa sasa unapendeza na kujisikia raha na afya, ikiwa pamoja na mazoezi ya aerobics ndio huleta mafanyikio ya haraka.















Mdau wa mazoezi Elias akiwa kwenye moja ya
mashine ambayo husaidia kuondoa tumbo na
kujenga misuli ya mwili ili kuondoa mafuta yale
yasiyohitajika .
Picha inaonyesha namna ya kuanza zoezi hilo.
















Hapa ni namna ya kumalizia zoezi hilo.















Hapa mdau Elias akimalizia zoezi hilo picha hiyo
ikionyesha upande wa nyuma.

No comments: