Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, April 25, 2012

WADAU WA MAZOEZI WAPAGAWA NA MAZOEZI YA TAE BO GYM YA UDSM

                                              
Wadau wa mazoezi yaviungo wakiwa katika mazoezi ya Tae Bo mazoezi ambayo yametokea kupendwa sana na yenye matokeo ya haraka katika mwili. Mazoezi  ya Tae Bo hukufanya uwe na nguvu na pumzi ya kutosha hata katika kukabiliana tatizo la aina yoyote ile.                                           






WADAU WA MAZOEZI WAKIWA KWENYE
DARASA LA TAE BO LIKIONGOZWA NA
MWALIMU OMAR SWAI  UDSM











































No comments: