Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, March 16, 2012

GYM YA UDSM YASHAMIRI NA ARI YA KUFANYA MAZOEZI YA AEROBICS

Sasa hivi hata Maprofesa wa chuo kikuu cha mlimani wako na ari ya kufanya mazoezi ya viungo
ili kuwa fit katika afya zao pamoja na wale walio karibu na chuo huwa wanajiunga na mazoezi.
















Wadau wa aerobic wakiwa katika mazoezi.















Hapa wadau wakionyesha umaaahiri wao wa
kufanya step aerobics.















Mwalimu O.Swai akitoa dozi ya mazoezi
Chuo kikuu mlimani Dar es salaam.

No comments: