Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, January 31, 2012

FAIDA UNAZOPATA UKIFANYA MAZOEZI MBALIMBALI YA AEROBICS KWA MUDA WA WIKI NNE BILA KUACHA



FAIDA UNAZOPATA KUTOKANA NA MAZOEZI YA AEROBICS

-Kukuongezea uwezo wa kupumua kwa ufasaha na uhakika.

-Kuuweka moyo wako kuwa madhubuti katika msukumo wa damu mwilini.

-Kupunguza mapigo ya moyo ambayo si ya kawaida.

-Kuongeza uwezo wa mzunguko wa damu na kuchuja mafuta kwenye damu kwa

uhakika zaidi.

-Kusaidia kupunguza mafuta kwenye mwili kwa kiasi kikubwa.

-Kusaidia kupunguza uzito ulokithiri.

-Kuongeza mtiririko wa hewa ya oksijeni kwenye damu.

-Kuufanya mwili kuwa na uwezo wa kulainisha misuli ya mwili.

-Kukukinga na maradhi ya mara kwa mara na kuongeza seli nyekundu za mwili.

KWA MASWALI ZAIDI KUHUSU MAZOEZI NIANDIKIE KUPITIA

omaryswai@gmail.com

No comments: