Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, January 24, 2012

MAZOEZI YA KICKBOXING KATIKA AEROBICS

Katika mzoezi ya viungo huwa kuna aina nyingi za mazoezi ambayo haya yote hugusa hisia na sehemu mbalimbali za misuli ya mwili wa binaadamu.
Mazoezi hayo ambayo hufanywa kwa kufuata muziki ambao ni maalumu kwa zoezi hilo, yakiwemo mazoezi ya kickbox unafanya kwa kufuatilia muzuki na pindi ufanyapo utasikia kamavile unapigana lakini sivyo ni aina ya mazoezi ya viungo, na pindi umalizapo unasikia akili na mwili wako kweli umefanya zoezi tosha.



















Katika picha hapo juu mwalimu Swai akifundisha
mazoezi ya kickbox ambayo yamependwa sana
na wadau wa aerobics


















Master class Omar swai akiuonyesha mdau wa
aerobics namna ya kutupa ngumi na teke kwa
pamoja.

No comments: