Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, February 6, 2012

MAZOEZI YA TUMBO KWA KUTUMIA MPIRA

Katika picha inaonyesha namna ya kuanza zoezi la kupunguza tumbo na namna ya kumlizia
















Katika picha ya kwanza inavyoonyesha jinsi ya
kuanza mazoezi ya kuondoa tumbo unafaya hivyo
kwa kunyanyua mikono yako juu kuvuta pumzi
ndani.















Hapa ni namana ya kumalizia zoezi hilo la tumbo
kwa kutumia mpira.unafanaya hivyo kabadili
mkono na mguu unazungishia chini ya paja lako
mara kwa seti 5x10 halafu unapumziku kwa sekunde
15 na kuanza tena.

















Mdau wa mazoezi ya viungo akifanya mazoezi
ya tumbo picha inaonyesha anavyoanza

















Hapa mazoezi yanavyoishia kwa kupitisha mikono
yako miwili katikati mwa mapaja na mabega ukiwa
umenyanyua unafanya set 3x10

No comments: