Umuhimu wa kufanya mazoezi ya tumbo iwe kwa mwanamke au mwanaume unatakikana hii ni kwa ajili ya kuuweka mwili wako katika hali ya kupendeza pindi ukiwa umevaa nguo zako kuweza kukuenea na kuonekana nadhifu na kupendeza.
Hivyo mazoezi ya tumbo pia hukufanya kukazika kwa misuli ya tumbo na kuwa unatembea umenyooka na kuvutia.

Hapa mwalmu henry akiwa anafanya mazoezi
ya tumbo kwa staili mbali mbali.
No comments:
Post a Comment