Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, January 26, 2012

WAALIMU WA AEROBICS WAMALIZA KOZI YA AWALI KWA KUFANYA MTIHANI CHUO KIKUU CHA MLIMANI (UDSM PESS)

Katika chuo kikuu cha Mlimani Shule ya Elimu ya Juu,kitengo cha Sayansi mazoezi ya viungo na michezo imemaliza kozi ya awali ya waalimu wa aerobics na gym hivi karibuni kwa kufanya mtihani wa natharia na vitendo.
















Katika picha ya pamoja wanafunzi waliomaliza
kozi ya awali ya aerobics na gym wakiwa na
mwalimu wa aerobics O.Swai aliyevaa kofia
nyekundu.















Hapa ni baadhi ya wanafunzi wakifanya mtihani
wa vitendo wakisimamiwa na mkuu wa kitengo cha
cha PESS Dk. C.Maro ambaye ameshika kitabu
katika picha kati.

No comments: