
Katika picha ya pamoja wanafunzi waliomaliza
kozi ya awali ya aerobics na gym wakiwa na
mwalimu wa aerobics O.Swai aliyevaa kofia
nyekundu.

Hapa ni baadhi ya wanafunzi wakifanya mtihani
wa vitendo wakisimamiwa na mkuu wa kitengo cha
cha PESS Dk. C.Maro ambaye ameshika kitabu
katika picha kati.
No comments:
Post a Comment