Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Thursday, October 27, 2011

NAMNA YA KUTUMIA MASHINE KWA MAZOEZI YA MGONGO

Huwa ni mazoea ya wadau wengi hufikiria mazoezi ya kutumia mashine ni kwa ajili ya wanaume tu hapana.
Mwanamke pia anahitaji kufanya mazoezi kwa kutumia mashine hii humsaidia kupunguza mafuta na kujenga misuli haswa sehemu ya mgongo yaani husaidia kuondoa matairi au manyama uzembe.















Hapa mdau wa mazoezi akifanya mazoezi ya
mgongo akiwa anaazia kama picha inavyoonyesha















Mdauwa mazoezi ya viungo akimalizia kuvuta
kama picha inavyoonyesha akiatimia mashine
nayoitwa rowing.

No comments: