Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Saturday, October 15, 2011

SIKU YA BONANZA CHUO KIKUU CHA DAR ESALAAM MLIMANI NA MIAKA HAMSINI

Katika kusherehekea miaka hamsini ya tangu kuanzishwa kwa chuo kikuu cha Dar es salaamMlimani enzi hizo mpaka hadi leo kulikuwa na sherehe mbali mbali za kushiriki kwenye michezo.



















Hapa akinamama wakijitayarisha kukimbia
mita mia moja siku ya bonanza jumamosi
kwenye viwanja vya chuo kikuu.
















Mbio zilianza hivyo kama inavyookana
hapo juu kwa akina mama.















Akina baba nao walikuwemo katika mashindano
hayo ya mita mia moja.

No comments: