Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, November 7, 2011

MAZOEZI YA KUJENGA MGONGO KWA KUTUMIA MASHINE

Mazoezi mengi siku hizi yameboreshwa kwa kufanya kwa kutumia mashine kwa uhakika na bila ya kuumia sehemu nyingine ambayo haitakiwi kwa wakati muafaka wa mazoezi.
Kama picha zetu zikionyesha wadau wakifanya mazoezi ya kujenga mgongo.





















Katika picha ya juu inaonyesha namna
ya kuanza zoezi la kujenga mgongo hapo
ni mwana mazoezi Wolter akifanya zoezi.





















Hapa Wolter akimalizia zoezi la kujenga
mgongo huku patna wake wa mazoezi
Maiko akisubiria zamu lake

No comments: