Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Sunday, October 16, 2011

KATIKA KUSHEREHEKEA MIAKA HAMSINI YA CHUO KIKUU NA BONANZA LA MAZOEZI YA AEROBICS.

KATIKA KUSHEREHEKEA MIAKA MIAKA HAMSINI YA CHUO KIKUU CHA MLIMANI WANAMICHEZO WOTE WALISHIRIKI KATIKA KUPASHA MISULI KWA MAZOEZI YA AEROBICS YA KIONGOZWA NA MWALIMU OMAR SWAI.















Washiriki wa bonanza wakianza na mazoezi ya
aerobics.
















Ilikuwa ni mambo ya cooldown hapa baada ya
aerobics.
















Mazoezi ya kunyoosha misuli kwa matayarisho
ya wanamichezo wa bonanza hilo lililofanyika
katika viwanja vya Chuo kikuu Mlimani.

No comments: