Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, October 7, 2011

MIAKA HAMSINI YA CHUO KIKUU DAR ES SALAAM CHA MLIMANI YAFANA KWA MAZOEZI YA VIUNGO.

Katika shamra shamra za kusherehekea miaka hamsini ya Chuo Kikuu Cha Dar es salaam Mlimani mkuu wa chuo hicho Profesa Mkandala akifungua Gym ya mazoezi ya viungo akiwa anasindikizwa na mkuu wa shule kuu ya elimu Eustella Bhalalusesa ambaye pia kitengo hiko kiko chini yake.





















Profesa Ruwekeza Mkandala akikata utepe rasmi kufungua gym.
















Baada ya kukata utepe Profesa Mkandala alijiunga na mazoezi ya aerobic
pamoja na wadauwengine.















Ilikuwa ni siku ya mazoezi tu wadau wakifurahia
mazoezi ya viungo

No comments: