Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, April 23, 2013

MWALIMU WA AEROBICS ABDALA HERRI ANAVYOWIKA ABUDHABI KATIKA KUTOA AINA MBALI MBALI YA MAZOEZI YA VIUNGO



Mwalimu Abdala Herri ni kijana aliyebobea  sana katika mazoezi haya ya aerobics, hata katika mazoezi ya spin yaani kuendesha darasa la  baskeli maalum kwa mazoezi ya mwili yaitwayo spin bike.
Siyo hayo tu pia huendesha darasa la NRG ambalo unatumia barbell na uzito kwa ajili ya kuondoa manyama uzembe.
Pia hutoa ushauri kwa wateja wake ambao wana matatizo mbali mbali ya afya zao.
Hivi sasa  Abdala yukoAbudhabi akifundisha kwenye Gym ya jeshi la  huko na anatarajia kufungua gym hapa Tanzania na huko Mombasa Kenya.




Mwalimu Abdala yuko mbele  kavaa tisheti nyekundu akiwa anafundisha darasa la spin





                    Hili ni darasa la NRG ambalo Abdala anafanyisha mazoezi yake ya mapaja.
                     (squat)kwa ajili ya kujenga misuli wa mbele ya paja





Abdala Herri akionyesha mazoezi kwa ajili ya kujenga misuli ya mgongo





                           Zoezi likiwa limepamba moto yakiongozwa na mwalimu Abdala. Herri.


No comments: