Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Wednesday, April 24, 2013

CLUB YA MAZOEZI YA AEROBICS YA VETA (DSMRVTSC) SASA YAVUMA



 Ni kwa nadra sana kusikia wafanyakazi  kuamua kufanya mazoezi na kwa moyo kama club ya VETA ambayo inavuma kwa sasa kwa ajili ya kufanya mazoezi, hii ni kwa sababu hata viongozi wao wanapenda mazoezi na kuwathamini wafanya kazi wenzao.
Klabu hii hufanya mazoezi mara tatu kwa wiki yaani Jumatatu,Jumatano na Ijumaa wakifundishwa na mwalimu  O.Swai akishirikiana na msaidizi wake mwalimu Sukamba.






                                  Mwalimu Sukamba akiwa kwenye darasa lake la aerobics.


                                 Wanawake wafanyakazi wa veta pia wanashiriki ipasavyo



                              Wafanyakazi wa veta wakiwa na kiongozi wao baser wa chiuo
                                  aliyevaa tishet  njano msitari wa kwanza.




                              Wafanyakazi wengi hufurahia mazoezi  na kupata matokeo
                                 mazuri na kuwa na afya njema.

No comments: