Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Tuesday, April 30, 2013

GYM YA CHUO KIKUU MLIMANI (UDSM) PESS YAFANA KATIKA MAZOEZI YA AEROBICS

Gym maarufu ambayo inaongoza kwa kutoa mafunzo ya waalimu wa aerobics hapa Tanzania na ambayo ina mwalimu aliyebobea katika mazoezi haya hapa Tanzania mwalimu O.Swai inafana kila kukicha kwenye mazoezi haya.Hivyo akitoa wito kwa wanamazoezi kujiunga katika gym hiyo iliyopo chuo kikuu na kupata mazoezi yaliyokwenda shule kama usemi wetu usemavyo Elimu Kwanza.






                              Mwalimu O.Swai akiwa kwenye darasa lake la step aerobics
                                 chuo kikuu cha mlimani




                              Wadau  wa aeobics wakifuatilia bila kukosea mazoezi ya step






                                  Likiwa ni darasa lililoja wadau wa mataifa mbali mbali
                                  wakifuatilia kwa makini mazoezi.






                         Kushoto mwanzo ni mdau wa mazoezi Isabellah akifuatilia kwa makini






                            Mwalimu Swai akiwa kwenye mwendo mdundo katika mazoezi.

No comments: