Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Saturday, February 25, 2012

ZOEZI LA AEROBICS LINAVYOSAIDIA KUDHIBITI UZITO WAKO

Mara nyingi tunaongezeka uzito uliokithiri kwa sababu ya kula kupita kiasi virutubisho ambavyo vinatakiwa uwe navyo mwilini mwako na kutumika kwa wakati muafaka.
Hivyo basi ni vema ule vyakula vyenye virutubisho bora na kufanya mazoezi, hii pia hukusaidia mwili wako kupunguza uzito ulokithiri na kuwa na nguvu kwenye misuli yako.

Mazoezi ya Aerobics yanasaidia sana kupunguza mafuta yaliyokithiri kwenye mwili wako kwa wakati muafaka.
Kwamfano ukuwa unafaya mazoezi ya kutembea unaweza kuchoma mpaka kaloriz 210 kwa saa,
halafu ukifanya mazoezi ya mpira wa mikono(hand ball) unachoma kaloriz 600 na unapofanya mazoezi ya Aerobics unachoma kaloriz 700 hadi 860 kwa saa.
Kwa hiyo basi unaona jinsi mazoezi ya Aerobics yalivyo na matokeo mazuri katika kupunguza uzito wa mwili wako, hivyo chaguo ni lako ufanye mazoezi yapi kati ya hayo ambayo nimeyachambua.

















Wadau wa Aerobics wakifaya mazoezi hayo huku
wakifuatilia kwa makini kwa mwalimu wao.

No comments: