Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, March 9, 2012

KUTANA NA MWANA MAZOEZI JAY JAY ALIYEBOBEA NA KUPENDA AEROBICS

JayJay mwenye asili ya Kiasia ni mwanamazoezi wa siku nyingi katika mazoezi Aerobics hapa Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla.

Ni mtu ambaye yeye hajibagui kujichanganya na watanzania wenzake bila kujali yeye ana asili ya Kiasia. Pia Jay Jay ameamua kumshirikisha mkewe pia kufanya mazoezi na kuwa na afya bora.











Katika picha wa kwanza ni Jay Jay akiwa katika darasa la step Aerobics katika gym ya UDSM.


No comments: