Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Friday, February 10, 2012

NAMNA YA KUFANYA MAZOEZI YA KUJENGA KIFUA KWA KUTUMIA BENCHI PRESS.

Mara nyingi watu ambao hufanya mazoezi, huwa wanatamani kuwa na kifua kilichojengeka na hii ikiwa ni kwa ajili ya kuwa na muonekano mzuri na pindi uvaapo nguo huonekana nadhifu.















Mazoezi ya kujenga kifua wadau wakiwa
wanasimamiana picha ikionyesha namna
ya kuanza zoezi hilo.
















Hapa zoezi la kujenga kifua namna ya kumaliza
ikiwa wamebeba uzito ambao unaumudu.

No comments: