Powered By Blogger

Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi?

Monday, March 7, 2011

BONANZA LA AEROBICS LA GYM YA GENESIS LAFANA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS



Waalimu wa aerobics waalikwa katika bonanza lililofana katika viwanja vya Leades wakiwa katika picha ya pamoja.









Ilikuwa ni mazoezi yanayochukua kama saa tatu hivi bila ya kupumzika na kila aliyealikwa kutoka gym tofauti za hapa Dar alifanya kwa kufuatilia umahiri na uongozi wa mazoezi wa waalimu wa aerobics ni furaha tu burdani ya mazoezi.

No comments: